Wabunge hii leo wameibua tena suala la ajira kwa wafanyikazi katika mabaraza ya miji ikihofiwa kuwa huenda baadhi ya madiwani wakapoteza ajira pindi serikali za ugatuzi zitakapobuniwa.hili limechochewa na pendekezo la kupunguza idadi ya wadi zilizoko lakini waziri wa serikali za wilaya musalia mudavadi ametoa hakikisho kwamba ingawa baadhi ya wadi zitawekwa pamoja hakuna yeyote atakayepoteza ajira.mbali na hayo jopokazi linaloshughulikia serikali za ugatuzi limeahidi kufanya mkutano na wizara ya fedha ili kutafuta mwafaka kuhusiana na tofauti zinazozingira miswada tofauti ambayo wameikabidhi tume ya utekelezaji wa katiba kuhusiana na sheria zitakazodhibiti mgao wa fedha za umma.
Devolution conference
Living
By | 14 years ago | 1 Min read
.
Trending Now
- Kenyan youth call on world leaders to act on climate change
- The single worst thing men can do during sex
- Apply those falsies like a pro
- Why does my boyfriend love expensive things?
- How to get from A to Z
- Secret to better skin? Knowing what it needs day and night
- Learn how to speak up at work
- Help! It's the holidays and I feel lonely
- Plight of Likoni victims family as divers, navy fail to retrieve bodies
- My word: Let us remember those left behind
.
Popular this week
- Connection between childhood attachment and adult relationship patterns
- What you need to know about anhedonia and how to recover from it
- Why men need stronger support systems more than ever
- From Dandora's dusty fields to Texas success: Mary Macharia diaspora journey inspires many
- Financial habits that create long-term family security
- The best time of the day to see your doctor
- 10 health benefits of eating bananas during pregnancy
- Fresh Sparkling Mint and Lemon Juleps
- More glow, less shine
- Meet Carole Okoth, hockey player and medical doctor
.
Similar Articles
.
The Standard Group Plc is a multi-media organization with investments in media
platforms spanning newspaper print
operations, television, radio broadcasting, digital and online services. The
Standard Group is recognized as a
leading multi-media house in Kenya with a key influence in matters of national
and international interest.