Mkamu wa Rais Kalonzo Musyoka ametoa taarifa rasmi ya serikali bungeni kuhusu afya ya waziri mkuu Raila Odinga. Hii ni kufuatia maswali ya wabunge waliotaka serikali kuelezea hali ya afya ya Waziri Mkuu, na iwapo anapokea matibabu ya kutosha nchini. Wakati huo huo mabalozi kadhaa wa kigeni walifika katika hospitali ya Nairobi kumjulia hali waziri mkuu, ambaye kwa mujibu wa daktari wake anaendelea kupata nafuu.
Afya Ya Waziri Mkuu
Living
By | 16 years ago | 1 Min read
.
Trending Now
- 'Brawn does not equal no brains'
- Catching up with Sophie Ikenye, host of BBC's Focus on Africa.
- From Dandora's dusty fields to Texas success: Mary Macharia diaspora journey inspires many
- Dark cloud hangs in Kisii as crime, murder and suicide cases escalate
- How to pamper your natural mane
- The different types of roommates in campus
- How do we move from 'roommates' to 'lovers' without it feeling forced?
- Is your marriage on autopilot? Time to grab the controls!
- Searching for Mr Right? Five types of men ladies are overlooking
- Easy recipe: Pasta salad
.
Popular this week
.
Similar Articles
.
The Standard Group Plc is a multi-media organization with investments in media
platforms spanning newspaper print
operations, television, radio broadcasting, digital and online services. The
Standard Group is recognized as a
leading multi-media house in Kenya with a key influence in matters of national
and international interest.