×
App Icon
The Standard e-Paper
Truth Without Fear
★★★★ - on Play Store
Download Now
×
The Standard Group Plc is a multi-media organization with investments in media platforms spanning newspaper print operations, television, radio broadcasting, digital and online services. The Standard Group is recognized as a leading multi-media house in Kenya with a key influence in matters of national and international interest.
  • Standard Group Plc HQ Office,
  • The Standard Group Center,Mombasa Road.
  • P.O Box 30080-00100,Nairobi, Kenya.
  • Telephone number: 0203222111, 0719012111
  • Email: [email protected]

Minimum wage followup - Swahili

Living
Siku moja baada ya serikali kusisitiza ni sharti vijakazi wa nyumbani wakiwemo mayaya kulipwa shillingi elfu saba kila mwezi , baadhi wa wafanyakazi hao wameanza kuhofia kupoteza nafasi zao za kazi. Wasi wasi uliopo kwa sasa ni kuwa hata waajiri wao hawalipwi vizuri. Na huku gharama ya maisha ikiwa juu ,ni wazi kwamba sio wengi watakaomudu gharama ya kuwaajiri vijakazi wa nyumbani. Tuliweza kuzungumza na milicent wanjiru ambaye hufanya kazi ya uyaya na vile vile kufanikiwa kupata stakabadhi ya mshahara ya wafanyakazi wanaolipwa elfu kumi na nne na bado wanaajiri vijakazi

Related Topics


.

Trending Now

.

Popular this week

.

Similar Articles

.

Recommended Articles