Siku moja baada ya serikali kusisitiza ni sharti vijakazi wa nyumbani wakiwemo mayaya kulipwa shillingi elfu saba kila mwezi , baadhi wa wafanyakazi hao wameanza kuhofia kupoteza nafasi zao za kazi. Wasi wasi uliopo kwa sasa ni kuwa hata waajiri wao hawalipwi vizuri. Na huku gharama ya maisha ikiwa juu ,ni wazi kwamba sio wengi watakaomudu gharama ya kuwaajiri vijakazi wa nyumbani. Tuliweza kuzungumza na milicent wanjiru ambaye hufanya kazi ya uyaya na vile vile kufanikiwa kupata stakabadhi ya mshahara ya wafanyakazi wanaolipwa elfu kumi na nne na bado wanaajiri vijakazi
Minimum wage followup - Swahili
Living
By | 14 years ago | 1 Min read
.
Trending Now
- Safarilink launches flights to Zanzibar
- Cocktail bar: Courgette Martini
- McDonald Mariga’s club relegated
- Super woman! Kanze Dena promoted at State House barely a month after appointment
- Why investing in skills pays off and how to do it right
- Janet Jackson loses over 22 kgs after giving birth
- Easy recipe: Chicken and veggie pizza
- I'm dating an expat who hates everyone, what am I missing?
- Man left with eye-watering Valentine’s Day bill after misreading wine list
- Get to know the fashion Guru, Aulgah Ojijo
.
Popular this week
- Colour your hair naturally
- I caught him with a condom in his pocket
- The good and the bad of eating tomatoes
- Simple and affordable home renovation ideas you can try yourself
- Don't ignore that joint pain, it could be arthritis
- Safarilink launches flights to Zanzibar
- Why every woman wants to be Lillian Muli after she flaunted her post-partum body
- The headache of sharing love between your children and a new lover
- CBK in legal breach over vacant top positions, says State audit
- What the elections will mean for women
.
Similar Articles
.
The Standard Group Plc is a multi-media organization with investments in media
platforms spanning newspaper print
operations, television, radio broadcasting, digital and online services. The
Standard Group is recognized as a
leading multi-media house in Kenya with a key influence in matters of national
and international interest.