×
The Standard Group Plc is a multi-media organization with investments in media platforms spanning newspaper print operations, television, radio broadcasting, digital and online services. The Standard Group is recognized as a leading multi-media house in Kenya with a key influence in matters of national and international interest.
  • Standard Group Plc HQ Office,
  • The Standard Group Center,Mombasa Road.
  • P.O Box 30080-00100,Nairobi, Kenya.
  • Telephone number: 0203222111, 0719012111
  • Email: [email protected]

Mombasa police brutality

Living

Familia moja kutoka eneo la kisauni mjini Mombasa imefanya maandamano jijini humo ikitaka kutiwa nguvuni kwa maafisa wa polisi kutoka kituo cha polisi cha Nyali. Maandamano hayo yalishinikizwa na kifo cha kijana wao ambaye alifariki katika seli za kituo hicho baada ya kutiwa nguvuni siku ya jumatano . Wazazi wa kijana huyo wanadai kuwa kijana huyo alipigwa na kujeruhiwa vibaya na maafisa wa polisi. Tukio hili linajiri wakati ambapo maafisa wa polisi katika kituo cha polisi cha Kiambu wanadaiwa kutekeleza uovu sawia na huo uliopelekea kifo cha mwalimu mmoja wa shule ya upili ya Loreto

Related Topics


.

Similar Articles

.

Recommended Articles