Familia moja kutoka eneo la kisauni mjini Mombasa imefanya maandamano jijini humo ikitaka kutiwa nguvuni kwa maafisa wa polisi kutoka kituo cha polisi cha Nyali. Maandamano hayo yalishinikizwa na kifo cha kijana wao ambaye alifariki katika seli za kituo hicho baada ya kutiwa nguvuni siku ya jumatano . Wazazi wa kijana huyo wanadai kuwa kijana huyo alipigwa na kujeruhiwa vibaya na maafisa wa polisi. Tukio hili linajiri wakati ambapo maafisa wa polisi katika kituo cha polisi cha Kiambu wanadaiwa kutekeleza uovu sawia na huo uliopelekea kifo cha mwalimu mmoja wa shule ya upili ya Loreto
Mombasa police brutality
Living
By | 12 years ago | 1 Min read
.
Trending Now
- How to deal with work bullies
- My daddy is my lover: He broke my virginity
- 10 Ways to Prevent Yeast Infections
- A life woven into the history of a nation
- Soft guy or modern gentleman? Men who carry their women's handbags
- Easy recipe: Tuna pilau
- Grossly weird things women do to keep men
- I was raped by my cousin when I was 10 years old
- IIBRC chair Andrew Ligale (right) with IIEC boss Issack Mohamed. The Ligale-led team starts public hearings on Monday. Photo: File/Standard
- How to deal with work bullies
.
Popular this week
- How to deal with work bullies
- Easy recipe: Tuna pilau
- A life woven into the history of a nation
- My daddy is my lover: He broke my virginity
- Soft guy or modern gentleman? Men who carry their women's handbags
- 10 Ways to Prevent Yeast Infections
- Are there any faithful men left?
- Worried that I can't find a partner
- Hidden danger in contaminated food and water
- Easy recipe: Home-made burger
.
Similar Articles
.