Aibu Kwa Bunge la Kitaifa!
Published Jun. 27, 2024
00:00
00:00

Hatua ya serikali kuwatuma wanajeshi kusaidia polisi kuwakabili waandamanaji ni ukiukaji mkubwa wa sheria za nchi. Inasikitisha kuwa Bunge la Kitaifa limetumiwa kutia muhuri uhayani huu! So unfortunate!