Mgomo wa Maafisa wa Kliniki Wamalizika Baada ya Siku 99

Your browser doesn’t support HTML5 audio

Maafisa wa Kliniki wametamatisha mgomo wao ambao umedumu siku 99 baada ya mapatano kati yao na Baraza la Magavana COG. Hii ni nafuu kubwa kwa Wakenya ambao hutegemea huduma katika hospitali za umma, japo inatoa changamoto kwa serikali kutafuta ufumbuzi wa kudumu kwa migomo hii ya mara kwa mara katika sekta ya afya.

Share this episode
How To Recall Your MP
In this episode of The Situation Room podcast, we interview Ndungi Githuku, a Human Rights Defender,...
The Inspiring Story Of Dr. Catherine Masitsa
In today's episode of The What's Your Story podcast, we speak with Dr. Catherine Masitsa, CEO of Sam...
.
RECOMMENDED NEWS