Kumbukumbu ya Hatua za Kinidhamu na Maswali ya Hatima

Your browser doesn’t support HTML5 audio

Chama cha ODM kimeendelea kutoa msimamo kinzani kuhusu hatua ya viongozi wake wakuu kujumuishwa serikalini, na kuibua kumbukumbu ya hatua za kinidhamu zilizochukuliwa dhidi ya Wabunge wake waliotangaza msimamo wao wa kushirikiana na serikali baada ya Uchaguzi Mkuu uliopita. Je, viongozi hawa wakuu wa chama hiki watachukuliwa hatua zozote. Kama sivyo, basi tusihadaiwe zaidi. 

Share this episode
MKATE NUSU: How Kenyan Politicians Put Themselves First
Welcome to this episode of The Situation Room podcast. Erick Latiff, Nduu Okoo, and CT Muga discuss ...
The Inspiring Story Of Dr. Catherine Masitsa
In today's episode of The What's Your Story podcast, we speak with Dr. Catherine Masitsa, CEO of Sam...
.
RECOMMENDED NEWS