Heshimu Wanahabari na Taaluma ya Uanahabari

Your browser doesn’t support HTML5 audio

Maandamano yaliyofanywa na wanahabari nchini hayashinikizi lolote nje ya Katiba ya nchi. Yanashinikiza tu taaluma ya uanahabari kuheshimiwa na haki za wanahabari kulindwa kama ilivyo katika sheria za nchi. Wanahabari sio wahalifu, wao ni mwito wa kuitumikia nchi na wananchi wake.

Share this episode
Kujiunga kwa ODM Na Serikali Kutakomesha Maandamano ya Gen Zs?
Baada ya Rais William Ruto kuwateua wanasiasa wanne kutoka ODM kujiunga na Baraza la Mawaziri, swali...
The Inspiring Story Of Dr. Catherine Masitsa
In today's episode of The What's Your Story podcast, we speak with Dr. Catherine Masitsa, CEO of Sam...
.
RECOMMENDED NEWS