Tishio kwa Amani na Utawala wa Sheria

Your browser doesn’t support HTML5 audio

Visa vinavyoendelezwa na serikali vya kuwateka nyara vijana na wanasiasa wanaohusishwa na maandamano dhidi ya serikali yanatia shubiri uwezekano wa kufumbua fumbo hili. Zaidi ni uhuni ambao ni kinyume kabisa na sheria za nchi. Amani haipatikana kwa kiganja kilichofumbatwa.

Share this episode
How Kenyans Were Abducted During Anti-Finance Bill Demos
In today's episode of The Situation Room podcast, we interview Faith Odhiambo, President of the Law ...
Why Is The Nation So Angry?
Welcome to the In Case You Missed It Podcast. In this episode, we're joined by Raymond Muthee, Erick...
.
RECOMMENDED NEWS