Uwezo wa Vijana Katika Maandamano ya Demokrasia
Sepetuko
Jun. 28, 2024
Your browser doesn’t support HTML5 audio
Vijana wa Gen Zs na vijana wengine ambao wamekuwa wakiendeleza maandamano dhidi ya Mswada wa Fedha wa mwaka wa 2024 wametukumbusha uwezo tulio nao kama wananchi wapigakura. Uwezo wa kupiga kura kuwachagua viongozi wetu, lakini zaidi kuwawajibisha wanapokuwa ofisini. Harakati hii haifai kukoma. Huu unafaa kuwa mwanzo tu wa kutetea Katiba yetu na kudai uongozi bora ambao tunastahili.
RELATED EPISODES
Unyenyekevu wa Wanasiasa Baada ya Maandamano ya Vijana
Maandamano Yafanyike Kwa Amani
Share this episode
Explained: Ruto's Austerity Measures & How They Will Impact The Economy
In today's episode of The Situation Room podcast, we feature Dr. Abraham Rugo, Executive Director of...Why Is The Nation So Angry?
Welcome to the In Case You Missed It Podcast. In this episode, we're joined by Raymond Muthee, Erick...LATEST PODCAST
-
There Were Gen Z's on the streets. Now we have Goon Z's on the streets!
-
Politicians are Interfering With Police- Macharia Njeru
-
Unyenyekevu wa Wanasiasa Baada ya Maandamano ya Vijana
-
Why The #RejectFinanceBill2024 Movement Is Not Over Yet- Hussein Khalid
-
Freehold vs Leasehold Land Laws Amendments - CS Alice Wahome