Uwezo wa Vijana Katika Maandamano ya Demokrasia

Your browser doesn’t support HTML5 audio

Vijana wa Gen Zs na vijana wengine ambao wamekuwa wakiendeleza maandamano dhidi ya Mswada wa Fedha wa mwaka wa 2024 wametukumbusha uwezo tulio nao kama wananchi wapigakura. Uwezo wa kupiga kura kuwachagua viongozi wetu, lakini zaidi kuwawajibisha wanapokuwa ofisini. Harakati hii haifai kukoma. Huu unafaa kuwa mwanzo tu wa kutetea Katiba yetu na kudai uongozi bora ambao tunastahili.

Share this episode
Explained: Ruto's Austerity Measures & How They Will Impact The Economy
In today's episode of The Situation Room podcast, we feature Dr. Abraham Rugo, Executive Director of...
Why Is The Nation So Angry?
Welcome to the In Case You Missed It Podcast. In this episode, we're joined by Raymond Muthee, Erick...
.
RECOMMENDED NEWS