Rais Mteule William Ruto amekutana na Rais anayestaafu Uhuru Kenyatta katika Ikulu ya Nairobi.
Ruto ameandamana na mkewe Bi. Rachael Ruto kwenye mkutano ambao pia unahudhuriwa na mke wa Uhuru Bi. Margaret Kenyatta.
Fact‑first reporting that puts you at the heart of the newsroom. Subscribe for full access.
- Unlimited access to all premium content
- Uninterrupted ad-free browsing experience
- Mobile-optimized reading experience
- Weekly Newsletters
- MPesa, Airtel Money and Cards accepted