Rais Mteule William Ruto amekutana na Rais anayestaafu Uhuru Kenyatta katika Ikulu ya Nairobi.
Ruto ameandamana na mkewe Bi. Rachael Ruto kwenye mkutano ambao pia unahudhuriwa na mke wa Uhuru Bi. Margaret Kenyatta.
Uncover the stories others won’t tell. Subscribe now for exclusive access
- Unlimited access to all premium content
- Uninterrupted ad-free browsing experience
- Mobile-optimized reading experience
- Weekly Newsletters
- MPesa, Airtel Money and Cards accepted