×
App Icon
The Standard e-Paper
Stay Informed, Even Offline
★★★★ - on Play Store
Download App

Mume wa Aisha Jumwa akataa kurejeshewa mahari

Aisha Jumwa.

Wakati mwanasiasa Karisa Nzai Munyika alipoanza kumvizia mbunge wa Malindi miaka ya 2000s, alijiua wazi Aisha Jumwa Karisa siyo mtu wa kuraukia. Wote walipatana wakiwa wanasisasa, bwana akiwa diwani wa Manispaa ya mji wa Mombasa na mke akiwa diwani wa Takaungu, baraza la mji wa Kilifi .

Mke akiwa diwani, alibahatika pia kuchaguliwa kama mwanamke wa kwanza kuwa mwenyekiti wa baraza la mji wa Kilifi. Bwana naye akaishia kuwa naibu wa Meya wa Mombasa kabla ya zunguluke ya maisha kuwageukia miaka ya 2013-2014.

Get Full Access for Ksh299/Week.
Uncover the stories others won’t tell. Subscribe now for exclusive access
  • Unlimited access to all premium content
  • Uninterrupted ad-free browsing experience
  • Mobile-optimized reading experience
  • Weekly Newsletters
  • MPesa, Airtel Money and Cards accepted
Already a subscriber? Log in