×
The Standard Group Plc is a multi-media organization with investments in media platforms spanning newspaper print operations, television, radio broadcasting, digital and online services. The Standard Group is recognized as a leading multi-media house in Kenya with a key influence in matters of national and international interest.
  • Standard Group Plc HQ Office,
  • The Standard Group Center,Mombasa Road.
  • P.O Box 30080-00100,Nairobi, Kenya.
  • Telephone number: 0203222111, 0719012111
  • Email: corporate@standardmedia.co.ke
Premium

DCI na IEBC waendelea kutofautiana kuhusu raia 3 wa Venezuela waliokamatwa

Maswali mengi yanaendelea kuibuka kuhusu raia watatu wa Venezuela ambao walinaswa wakiwa uwanja ndege baada ya kupatikana na makasa ya vibandiko vya uchaguzi katika hali tatanishi.

Haya yanajiri wakati ambapo Idara ya Upelelezi DCI imeendelea kuibua taarifa ambazo zinaashiria utata katika safari ya watatu hao kuja Kenya wakisemekana kuwa wafanyakazi wa kampuni iliyopewa kusimamia teknolojia.

DCI inasema watatu...

Related Topics


.

Popular this week