Maswali mengi yanaendelea kuibuka kuhusu raia watatu wa Venezuela ambao walinaswa wakiwa uwanja ndege baada ya kupatikana na makasa ya vibandiko vya uchaguzi katika hali tatanishi.
Haya yanajiri wakati ambapo Idara ya Upelelezi DCI imeendelea kuibua taarifa ambazo zinaashiria utata katika safari ya watatu hao kuja Kenya wakisemekana kuwa wafanyakazi wa kampuni iliyopewa kusimamia teknolojia.
DCI inasema watatu...