Katibu Mkuu wa Chama cha UDA, Veronica Maina amesisitiza kwamba Kenya Kwanza itafanya mkutano wake tarehe 6 Agosti katika Uwanja wa Michezo wa Nyayo, akipinga kupokonywa leseni ya kuendesha mkutano siku hiyo. Kwa mujibu wa Maina, tayari Kenya Kwanza imelipia uwanja huo na hawatakubali kubatilishwa.
Ijumaa wiki hii Kamati...