×
App Icon
The Standard e-Paper
Home To Bold Columnists
★★★★ - on Play Store
Download Now
×
The Standard Group Plc is a multi-media organization with investments in media platforms spanning newspaper print operations, television, radio broadcasting, digital and online services. The Standard Group is recognized as a leading multi-media house in Kenya with a key influence in matters of national and international interest.
  • Standard Group Plc HQ Office,
  • The Standard Group Center,Mombasa Road.
  • P.O Box 30080-00100,Nairobi, Kenya.
  • Telephone number: 0203222111, 0719012111
  • Email: [email protected]
.

News

Kenya kuondoa maafisa wake wa polisi Haiti

Waziri mwenye Mamlaka Makuu, Musalia Mudavadi ametangaza kuwa maafisa wa polisi wa Kenya waliokuwa wametumwa nchini Haiti sasa wataanza kurejea nyumbani
By Suleiman Kagwe 2026-03-10 12:52:44
Jeshi la Kitaifa la Somalia (SNAF) limeanzisha operesheni mpya katika eneo la Lower Shabelle, kusini mwa Somalia, ikilenga wanamgambo wa Al-Shabaab.
By Robert Menza 2026-03-03 15:40:34
Inspekta Mkuu wa Polisi Douglas Kanja amesema serikali inaendelea na uchunguzi wa kina kuhusu ripoti za Wakenya wanaodaiwa kukwama nchini Urusi katika mazingira tata.
By Robert Menza Na Esther Kirong 2026-02-27 16:08:02
Umoja wa Ulaya umetangaza euro milioni 63, sawa na takriban shilingi bilioni 9.7, kwa ajili ya msaada wa kibinadamu kusaidia jamii zilizo katika mazingira magumu Somalia.
By Robert Menza 2026-02-27 13:39:31
Mahakama imeelezwa kuwa uchambuzi wa data za simu umebaini kile wachunguzi wanachokitaja kama mtandao wa mawasiliano uliopangwa kati ya Paul Mackenzie na kundi lake la usalama
By Robert Menza 2026-02-27 13:31:03
Wanasayansi wamegundua chanzo halisi cha tatizo adimu sana la kuganda kwa damu lililohusishwa na baadhi ya chanjo za COVID-19 zinazotumia kirusi aina ya adenovirus
By Suleiman Kagwe 2026-02-17 15:19:01
Viongozi wakuu wa Muungano wa Upinzani wamemshutumu Inspekta Jenerali wa Polisi, Douglas Kanja, kwa kupuuza mkutano muhimu wa kiusalama
By Suleiman Kagwe 2026-02-17 15:13:59
Maafisa wa polisi katika eneo la Athi River, Kaunti ya Machakos, wamefanikiwa kukamata washukiwa wawili wanaoaminika kuwa wanachama wa genge lenye vijana 15
By Patel Mulevu 2026-02-13 12:36:33
Serikali ya Kitaifa imetenga shilingi bilioni mbili kwa fidia ya ardhi na shilingi milioni 838 kwa ajili ya kuhamisha wafanyabiashara, katika juhudi za kuharakisha ujenzi
By Robert Menza 2026-02-13 10:10:40
Mswada kuhusu mabadiliko katika sekta ya elimu ya juu humu nchini ambao umeidhinishwa na baraza la mawaziri huku ukisubiri hatma ya wabunge umeibua hisia mseto
By Patel Mulevu 2026-02-13 10:04:50
Vifo vya akina mama wajawazito vimepungua kwa kiasi kikubwa katika Kaunti ya Kisii, kufuatia utekelezaji wa mpango wa kuimarisha mfumo wa afya
By Robert Menza 2026-02-12 14:50:24
Serikali imetangaza kaunti 14 kuwa miongoni mwa zilizoathirika zaidi na kiangazi kufuatia mvua chache iliyonyesha msimu uliopita.
By Suleiman Kagwe Na Patel Mulevu and Patel Mulevu 2026-02-12 11:36:40