Awamu ya nne ya ripoti ya ya watu iliyofanywa mwezi Agosti mwaka jana imeonyesha kuwa iadai ya wanawake imeshinda ya wanaume kwa 466,660. Idadi lkamili ya Wakenya ni milioni47, 564, 296, wanawake wakiwa 37,724,850 na wanaume ni 24,041,716. Huku watu wenye jinsia isiyokuwa bainifu, intersex wakiwa 1,524.
Vilevile wanawake, wanaongoza kwa idadi ya Wakenya walio na Ulemavu. Idadi kamili ya Wakenya wenye ulemavu ni 918, 270, huku wenye ulemavu wa ngozi wakiwa 9,728.