Bilionea wa uturuki azuiliwa kwa madai ya kufadhili ugaidi

Bilionea wa uturuki azuiliwa kwa madai ya kufadhili ugaidi
Mahakama imeamuru bilionea wa Uturuki Elsek Osman na mwenzake Gokmen Sandikci kuzuiliwa kwa siku kumi na nne huku uchunguzi ukiendelea kuhusu madai ya kufadhili ugaidi.
.

RELATED NEWS