Bilionea wa uturuki azuiliwa kwa madai ya kufadhili ugaidi
Mahakama imeamuru bilionea wa Uturuki Elsek Osman na mwenzake Gokmen Sandikci kuzuiliwa kwa siku kumi na nne huku uchunguzi ukiendelea kuhusu madai ya kufadhili ugaidi.
Latest Video
N95 or KF94? Which mask is best at protecting against COVID-19