Boni Khalwale angatuliwa kama kinara wa walio wengi bunge la Seneti

Boni Khalwale angatuliwa kama kinara wa walio wengi bunge la Seneti
Hatua hiyo imefungua ukurasa mpya katika uongozi wa Seneti, huku Seneta wa Bungoma, David Wafula Wakoli, akichaguliwa kuchukua nafasi hiyo mara moja.
.

RELATED NEWS