The Standard Group Plc is a
multi-media organization with investments in media platforms spanning newspaper
print operations, television, radio broadcasting, digital and online services. The
Standard Group is recognized as a leading multi-media house in Kenya with a key
influence in matters of national and international interest.
Wazee Wasuba katika mojawapo ya ngoma zao asilia. Jamii ya Suba inafurahia kuwasilishwa bungeni na mmoja wao Mbunge John Mbadi.
Kuna makabila mengine ya zamani ambayo yamebakia na watu wachache tu wanaofahamu asili mila na desturi za wavyele wao. Hii ni kutokana na uhamaji na kumezwa na makabila mengine. Wasuba ama Abasuba ni moja ya makabila ya watu wa Kenya ambao wanaongea lugha ya Kisuba lakini wengi wao huongea Kijaluo. Jina Suba huwakilisha makundi matatu tofauti ya watu wanaoishi Kusini Magharibi mwa Kenya katika eneo la Nyanza Kusini na mamkundi hayo ni Suba (Abasuba) Irenyi (abirienyi ) na Kunta (Abakunta). Kundi la Suba liliingia Kenya kutoka eneo la Mara Tanzania. Ingawa Wasuba huchukuliwa kama kabila, wao ni kabila dogo tu lililokuwa chini ya kabila kubwa la Wagirango lililojumuisha makabila mengine madogo kama vile Wategi na Wagire.
Premium Article
Get Full Access for Ksh299/Week.
Uncover the stories others won't tell. Subscribe now for exclusive access.
Stand With Bold Journalism.
Stand With The Standard.
Journalism can't be free because the truth demands investment.
At The Standard, we invest time, courage and skills to bring you accurate,
factual and impactful stories. Subscribe today and stand with us in the
pursuit of credible journalism.