×
App Icon
The Standard e-Paper
Stay Informed, Even Offline
★★★★ - on Play Store
Download App

Wasuba ni kabila lililomezwa na Wajaluo

Wazee Wasuba katika mojawapo ya ngoma zao asilia. Jamii ya Suba inafurahia kuwasilishwa bungeni na mmoja wao Mbunge John Mbadi.

Kuna makabila mengine ya zamani ambayo yamebakia na watu wachache tu wanaofahamu asili mila na desturi za wavyele wao. Hii ni kutokana na uhamaji na kumezwa na makabila mengine. Wasuba ama Abasuba  ni moja ya makabila ya watu wa Kenya ambao wanaongea lugha ya Kisuba lakini wengi wao huongea  Kijaluo. Jina Suba huwakilisha makundi matatu tofauti ya watu  wanaoishi Kusini Magharibi mwa Kenya katika eneo la Nyanza Kusini na mamkundi hayo ni Suba (Abasuba) Irenyi (abirienyi ) na Kunta (Abakunta). Kundi la Suba liliingia Kenya kutoka eneo la Mara Tanzania. Ingawa Wasuba huchukuliwa kama kabila, wao ni kabila dogo tu lililokuwa chini ya kabila kubwa la Wagirango lililojumuisha makabila mengine madogo kama vile Wategi na Wagire.

Premium Article

Get Full Access for Ksh299/Week.

Bold Reporting Takes Time, Courage and Investment. Stand With Us.
Continue Reading  →
What you get
  • Unlimited access to all premium content
  • Ad-free browsing experience
  • Mobile-optimised reading
  • Weekly newsletters & digests
Pay via
M - PESA
VISA
Airtel Money
Secure Payments Kenya's most trusted newsroom since 1902
Support Independent Journalism

Stand With Bold Journalism.
Stand With The Standard.

Journalism can't be free because the truth demands investment. At The Standard, we invest time, courage and skills to bring you accurate, factual and impactful stories. Subscribe today and stand with us in the pursuit of credible journalism.

Pay via
M - PESA
VISA
Airtel Money
Secure Payment Kenya's most trusted newsroom since 1902