×
App Icon
The Standard e-Paper
Kenya’s Boldest Voice
★★★★ - on Play Store
Download App

Seneta Cleophas Malala kupewa ulinzi zaidi kufuatia madai ya maisha yake kuwa hatarini

Inspekta Mkuu wa Polisi, Hillary Mutyambai ameagizwa kumpa ulinzi Seneta wa Kakamega, Cleophas Malala kufuatia madai kwamba maisha yake yamo hatarini.

Mwenyekiti wa Kamati ya Pamoja ya Sheria na Usalama katika Seneti, Yusuf Haji amesema madai yaliyoibuliwa na Malala yana uzito hivyo basi anapaswa kupewa ulinzi haraka iwezekanavyo.

Get Full Access for Ksh299/Week.
Uncover the stories others won’t tell. Subscribe now for exclusive access
  • Unlimited access to all premium content
  • Uninterrupted ad-free browsing experience
  • Mobile-optimized reading experience
  • Weekly Newsletters
  • MPesa, Airtel Money and Cards accepted
Already a subscriber? Log in

Related Topics