×
App Icon
The Standard e-Paper
Fearless, Trusted News
★★★★ - on Play Store
Download App

Kenya yaungana na mataifa mengne kuadhimisha Siku ya Kimataifa ya Afya ya Akili

Serikali, mashirika ya Umoja wa Mataifa UN na yale ya kutetea haki za kibinadamu yametakiwa kuchukua hatua madhubuti kuendeleza na kuwekeza katika usaidizi wa kisaikolojia kwa watu walioathiriwa na mizozo ya kivita.

Shirika la Human Rights Watch linasema idadi kubwa ya watu walioathirika kiakili mwaka huu inatokana na mizozo ya kijamii na vita pamoja na hali ngumu ya kimaisha kufuatia ukame na baa la njaa.

Get Full Access for Ksh299/Week.
Fact‑first reporting that puts you at the heart of the newsroom. Subscribe for full access.
  • Unlimited access to all premium content
  • Uninterrupted ad-free browsing experience
  • Mobile-optimized reading experience
  • Weekly Newsletters
  • MPesa, Airtel Money and Cards accepted
Already a subscriber? Log in