×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

CS Matiangi meets security bosses

24th August, 2018

Serikali imesema kuwa haitoruhusu raia wa kigeni kutafuta leseni za kufanyia kazi wakiwa tayari humu nchini. Waziri wa usalama wa ndani Dkt. Fred Matiangi ametoa amri hiyo akiwahutubia wakuu wa maswala ya usala katika chuo cha serikali huko kabete. Aidha Matiang'i amesema kuwa wafanyibiashara kutoka nchi za kigeni wataruhusiwa kuingia humu nchini iwapo tu watakuwa na vibali na leseni . 

.
RELATED VIDEOS