2nd March, 2020
Waziri Wa Kilimo Peter Munya Amewataka Wakenya Kuwa Watulivu Huku Serikali Ikiendelea Na Juhudi Za Kukabiliana Na Nzige Ambao Wanaendelea Kuvamia Maeneo Mbali Mbali Nchini. Munya Amesema Kuwa Helikopta Zaidi Za Kunyunyiza Dawa Ya Kuwaua Wadudu Hao Zimeagizwa Kutoka Nchini Afrika Kusini. Alikuwa Akizungumza Katika Hafla Ya Kumkabidhi Afisi Waziri Mpya Wa Viwanda, Biashara Na Vyama Vya Ushirika Betty Maina.