3rd October, 2018
Mahakama ya Juu inatakiwa kuamua kesi iliyowasilishwa ya kupinga ushindi wa Mbunge wa Embakasi Mashariki Babu Owino ambaye jina lake halisi ni paul ongili katika uchaguzi mkuu wa agosti nane mwaka uliopita. Aliyekuwa mbunge wa sehemu hiyo katika bunge la kumi na moja francis mureithi alikata rufaa katika mahakama ya juu baada ya mahakama ya rufaa kukubaliana na mahakama kuu kuwa alishinda. Mureithi alidai kuwa babu hakushinda uchaguzi huo kwa njia huru. Tunaelekea moja kwa moja hadi katika mahakama ya juu ambapo mwanahabari wetu mark namaswa amekita kambi huko.