Dereva wa texi anaswa na kamera za CCTV akimzaba mwenzake wa kike makofi mtaani South C
6th April, 2016
Mtazamaji ni sawa kumzaba mwanamke makofi? Kupitia kamera za CCTV tulizoweza kuzipata zinaonyesha jinsi jamaa mmoja ambaye ni mmliki wa texi katika kituo kimoja mtaani South C hapa jijini Nairobi akimchabanga mama na mwanamke ambaye pia ni mchumi kupitia biashara ya wanatexi. Maajabu ni kuwa jamaa aliyetenda unyama huo anadai kuwa ni hasira.