×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Mirindimo: Jinsi wakenya wamefanya msamiati kufinya kuwa tukio na kusambaa katika mitandao ya jamii

2nd July, 2021

Sarakasi zinazidi kuteka anga ndani ya chama cha walimu cha KNUT ambapo aliyekuwa katibu mkuu wa siku nyingi Wilson Sossion alijiuzulu baada ya machozi kumtoka njia mbili mbili. Huku haya yakijiri mahakama ya rufaa ilikuwa mwenyeji wa mawakili walioporomosha vifungu vya sheria kwa mpigo. Na kwa kuwa wakenya hawakosi vituko, msamiati kufinya umeoenekana kusambaa katika mitandao ya jamii.elvis kosgei na mengine mengi zaidi kwenye makala ya kila ijumaa ya mirindimo, tazama.

 

.
RELATED VIDEOS