×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

KWS yawaokoa wanyama pori waliokwama Kisiwani Longcharo katika Kaunti ya Baringo

23rd September, 2020

Shirika la Wanyama Pori KWS liko mbioni kuwaokoa wanyama pori waliokwama katika kisiwa cha Longcharo katika Ziwa Baringo. Wanyama hao wakiwemo Ngiri, Swara na Twiga walijipata pabaya baada ya viwango vya maji kuongezeka na kukifanya kisiwa hicho ambacho kimekuwa makazi yao kwa zaidi ya mwongo mmoja kuwa finyu.

.
RELATED VIDEOS