.
21st September, 2020
Mauji ya kuogofya na ya kinyama yameshuhudiwa katika eneo la malava na kuwaacha wakazi vinywa wazi. Mume akimyonga mkewe na kisha kujifungia ndani ya nyumba yao na ujiteketeza. Katika kijiji kingine eneo lilo hilo kijana akimchinja nyayake kwa kisu na kumwua papo hapo baada ya Ugomvi kutokea baina ya wawili hao. Visa vyote vikitokea Usiku wa kuamkia jumatatu. Willy lusige na taarifa zaidi