21st September, 2020
Baadhi ya maaskofu wa makanisa ya hapa nairobi wameikosoa serikali kwa kutoonyesha mfano mzuri wakati huu wa kutafuta suluhu kwa msambao wa homa ya korona. Watumishi hao waliozungumza katika kanisa la life source international mtaani kayole, wamekemea mtindo wa wanasiasa kukubaliwa kuendesha shughuli za siasa huku raia wakiendelea kufungiwa