.
18th September, 2020
Zaidi ya wahitimu mia nne (400) wa ngazi mbalimbali za elimu, kutoka vyuo vya nje ya nchi ya tanzania wanahitimu masomo yao.. Wahitimu hao raia wa tanzania, wanahitimu licha ya sekta ya elimu katika baadhi ya nchi duniani, kuathiriwa na janga la korona.