×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Msimamizi wa NMS aondoa hofu, asema mradi ni wa maegesho si barabara

16th September, 2020

Serikali imeondoa hofu ya biashara kubomolewa na wawekezaji kufurushwa kutoka eneo Lunar Park hapa Nairobi, kwa kusudi la ujenzi wa mradi wa maegesho au stendi ya magari ya abiria. Ingawa taarifa za awali ziliashiria kwamba ardhi hiyo ilidhamiriwa ujenzi wa barabara ya juu kwa juu ya kuunganisha jiji la Nairobi na uwanja wa ndege wa Jkia, Mkurugenzi Mkuu wa mamlaka ya huduma za jiji la Nairobi na viunga vyake, Meja Jenerali Mohamed Badi, amefafanua kwamba ardhi hiyo imekabidhiwa mamlaka hiyo kwa madhumuni ya ujenzi wa maegesho ya magari.

.
RELATED VIDEOS