×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Wizara ya afya yatoa onyo kwa wanaokiuka sheria za kudhibiti uenezi wa Covid

9th September, 2020

Wizara ya afya leo hii imetoa onyo kwa wachukuzi wa magari ya umma na wanasiasa wanaokiuka sheria za kudhibiti uenezi wa virusi vya korona kwa kukongamana na kubeba abiria kupita kiasi,kwani kwa wanarudisha nyuma hatua zilizokuwa zimepigwa na wizara hio. Haya yanajiri huku Kenya ikirekodi visa 104 vipya vya maambukizi ya Korona kwa saa 24 zilizopita. Aidha vita dhidi ya Korona vinakumbwa na pandashuka baada ya wauguzi kaunti ya Nairobi kutishia kugoma huku wahudumu kaunti ya Embu pia wakidinda kufika kazini

.
RELATED VIDEOS