.
26th August, 2020
Kamati ya maseneta kumi na wawili iliyobuniwa kutafuta mwafaka kuhusu suala tata la Ugavi wa Fedha za Kaunti imetangaza maafikiano kuhusu ugavi huo. Kamati hiyo inayoongozwa na seneta wa bungoma moses wetangula pamoja na mwenzake wa Nairobi Johnson Sakaja itawasilisha ripoti ya majadiliano yao yaliyochukua zaidi ya wiki moja kwa uongozi wa Bunge la Seneti hapo kesho