21st August, 2020
Wajane Ni Miongoni Mwa Makundi Ya Watu Wasiojiweza Katika Jamii Wanaopitia Wakati Mgumu Hasa Kipindi Hiki Cha Janga La Korona. Wengi Wamesalia Na Upweke Wasijue Wa Kugeukia Kuwaauni Angalau Kupata Msaada Wa Kujisitiri Kutokana Na Makali Ya Korona. Masaibu Ya Benta Akoko Ambaye Maisha Yake Ya Kuwa Mjane Kwa Miongo Miwili Yamekuwa Na Pandashuka Si Haba!