×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Viongozi wa ODM wafanya Kikao Homa Bay kuzungumzia nyadhfa za chama hicho

21st August, 2020

Viongozi Wa Chama Cha Odm Kutoka Katika Kaunti Ya Homabay Wamefanya Mkutano Hii Wa Kustawisha Chama Hicho Na Kujaza Baadhi Ya Nafasi Ambazo Zilikuwa Wazi. Mkutano Huo Ambao Uliongozwa Na Mwakilishi Wa Kike Wa Homabay Gladys Wanga Pia Umeitaka Kamati Maalum Iliyobuniwa Kutatua Suala La Ugavi Wa Fedha Kuwajibika Mara Moja Ili Kaunti Zipate Migao Yao. Kadhalika Wamewataka Wawakilishi Wodi Wa Homabay Kuendesha Vikao Vyao Bila Fujo.

.
RELATED VIDEOS