.
21st August, 2020
Huku Mjadala Kuhusu Ugavi Wa Mapato Katika Kaunti Ukiendelea, Rais Uhuru Kenyatta Na Naibu Wake, William Ruto, Wametoa Kauli Zao. Akizungumza Jijini Nairobi Alipoongoza Shughuli Ya Kutoa Hatimiliki Kwa Wamiliki Wa Mashamba Kwenye Ardhi Pana Ya Embakasi Ranch, Rais Uhuru Kenyatta Alihimiza Masikizano Yaliyojikita Katika Usawa. Naye Naibu Wa Rais Akiwa Na Kikao Na Viongozi Kutoka Trans?Nzoia Nyumbani Kwake Sugoi, Alikariri Haja Ya Haki Na Usawa Kwenye Mchakato Mzima.