19th August, 2020
Gavana Wa Kaunti Ya Nyeri Mutahi Kahiga, Ametakiwa Kuchukua Hatua Ili Kuhakikisha Jumla Ya Shilingi Milioni 153 Zilizotengwa Kupambana Na Janga La Korona Zimetumiwa Ipasavyo. Ni Baada Ya Bunge La Kaunti Hiyo, Kuidhinisha Ripoti Iliyoashiria Kuwa Nyeri Haina Uwezo Wowote Wa Kuwasaidia Wagonjwa Mahututi Wa Korona. Aidha Kamati Hiyo Pia Imezua Maswali Kuhusu Vilipo Vifaa Vya Kujikinga Yani Ppes Vilivyonunuliwa Na Vingine Vilivyokuwa Vya Msaada Kutoka Kwa Wahisani. Wakati Uo Huo Naibu Gavana Dkt. Caroline Karugu, Amesema Ni Gavana Tu Anayeweza Kueleza Vilipo Vifaa Vyenyewe.