.
19th August, 2020
Familia Moja Katika Kijiji Cha Majimazuri Eneo La Navakholo Kaunti Ya Kakamega Imeshangazwa Na Kupofuka Kwa Mabinti Wao Ghafla Huku Juhudi Za Kuwatafutia Matibabu Zikigonga Mwamba. Hii Ni Baada Ya Madaktari Kuthibitisha Kuwa Mabinti Hao Walipoteza Uwezo Wao Wa Kuona Na Itawabidi Kuishi Hivyo. Wazazi Wakilazimika Kuwaondoa Katika Shule Zao Na Kuwapeleka Katika Shule Zinazowashughulikia Wanafunzi Wasio Na Uwezo Wa Kuona.