.
19th August, 2020
Maelfu Ya Familia Zinazoishi Kando Ya Maziwa Baringo Na Bogoria Zimelazimika Kuhama Makwao Baada Ya Maziwa Hayo Kujaa Hadi Kuvunja Kingo Zake. Wenyeji Wanadai Kuwa Wameshapoteza Mali Ya Thamani Ya Mamilioni Ya Pesa Kutokana Na Mafuriko Hayo.