×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Siasa za Kwale: Gavana Mvurya akosa kufika kikaangoni alipokuwa akisubiriwa bunge la Kwale kuhojiwa

17th June, 2020

Gavana wa kaunti ya kwale salim mvurya amekosa kufika mbele ya bunge la kaunti hiyo na kuomba mda zaidi kujibu maswala waliotaka wabunge kuhusiana na mapendekezo ya bajeti ya shilingi milioni 160 iliofaa kuwakinga wakwale dhidi ya baa la njaa wakati huu wa maambukizi ya korona. Na kama anavyoripoti mwanahabari wetu wa ukanda wa pwani tobias chanji wawakilishi wadi hao vilevile wamesema kuwa hawana hoja yoyote ya kumfurusha mvurya afisini

.
RELATED VIDEOS