12th June, 2020
Mamia ya familia zina hofu katika kijiji cha bukhagunga,
malava, kaunti ya kakakmega baada ya kampuni ya uchina
inayotengeneza barabara ya kutoka kakamega kuelekea
webuye kudaiwa kukataa kulipa fidia familia zilizoathirika na
shughuli za uchimbaji mawe katika kijiji hicho. Inadaiwa
vilipuzi vimesababisha baadhi ya kina mama kuavya mimba na
wamiliki wa chimbo kukosa kulipwa. Willy lusige na taarifa
zaidi