20th May, 2020
Hali ya simanzi imetanda katika eneo la shirika?kuinet kaunti
ya uasin gishu baada ya jamaa mmoja kumuua mkewe kisha
kujiua. Inasemekana marehemu amekuwa na mzozo wa
nyumbani na mkewe kwa siku nyingi huku jamaa akitishia
kumtoa uhai mkewe kwa madai kwamba amekuwa akibugia
pombe haramu.