.
14th May, 2020
Hatimaye harusi ya Kenneth Mwaniki na Charity Mwai iliyosimamishwa kuzuia maambukizi ya virusi vya Korona imefanyika siku tatu baadaye katika eneo bunge la tetu kaunti ya Nyeri.
Ni harusi iliyohudhuria na watu watano tu pamoja na kufanyika chini ya saa moja.