23rd February, 2020
Mzozo Umeibuka Baina Ya Jamii Mbili Katika Kijiji Cha Khuvasali Eneo Bunge La Malava Kufuatia Mtafaruku Kuhusu Mpaka Wa Shamba Huku Pia Jamii Moja Ikiripotiwa Kuiba Mifugo Ya Jamii Nyingine.Wakazi Sasa Wanataka Kuhamishwa Kwa Maafisa Wa Polisi Wa Kituo Cha Khuvasali Kwa Kile Wanachokitaja Kuwa Kuitekeleza Kazi Yao Kwa Mapendeleo. Kulingana Na Wakazi Wa Eneo Hilo, Suala La Mzozo Wa Mpaka Wa Shamba Limepelekea Jamii Ya Kabras Na Kalaenjin Kuzozozana Kwa Muda Mrefu.