×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Mashahidi watatu watambuliwa katika kesi ya kifo cha mwanahabari Eric Oloo

25th November, 2019

Sabina Kerubo, Inspekta wa Polisi katika Kituo cha Polisi cha Ugunja na ambaye mwanahabari Eric Oloo alipatikana ameaga ndani ya nyumba yake wiki jana, sasa atakuwa shahidi katika mauaji ya mwanahabari huyo. 

Kerubo, binti yake na msaidizi wa nyumbani awali walikuwa washukiwa. Kevin Ogutu anavyotuarifu, ni mandugu wawili ambao wamesalia kama washukiwa na ambao watafikishwa mahakamani desemba tarehe kumi, baada ya ombi la mashtaka.

.
RELATED VIDEOS