1st April, 2019
Chama cha Wanafamasia nchini kilikamilisha ziara yake huko Kakamega, ambapo viongozi wa chama hicho wakiongozwa na mwenyekiti wao patrick adera walikagua dawa ghushi madukani. Walisema kwamba wataendelea na shughuli hiyo kutokana na taarifa kuzuka za dawa ghushi kutoka nchi jirani.