×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Chama cha Wanafamasia nchini kilikamilisha ziara yake huko Kakamega

1st April, 2019

Chama cha Wanafamasia nchini kilikamilisha ziara yake huko Kakamega, ambapo viongozi wa chama hicho wakiongozwa na mwenyekiti wao patrick adera walikagua dawa ghushi madukani. Walisema kwamba wataendelea na shughuli hiyo kutokana na taarifa kuzuka za dawa ghushi kutoka nchi jirani. 

.
RELATED VIDEOS