.
4th March, 2019
Mratibu mkuu wa kaunti ya Nairobi, Wilson Nyaga amewaonya vikali wananchi wanaotumia mashine za kamari kuwa watachukuliwa hatuwa kali na serikali. Alizungumza haya akiendesha operesheni ya kukusanya mashine hizo ambapo zaidi ya mashini mia sita ziliteketezwa katika eneo la embakasi.