×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Gavana wa Benki kuu ya Kenya, Patrick Njoroge afika mbele ya kamati ya Bunge kuhusu fedha

26th February, 2019

Gavana wa Benki kuu ya Kenya, Patrick Gjoroge, leo hii amefika mbele ya kamati ya Bunge kuhusu fedha na kutetea kanuni alizozichapisha hivi majuzi kuhusu kiwango cha juu cha fedha mtu anastahili kutoa kutoka kwa akaunti. Ingawa Gavana Njoroge alifafanua kwamba hatua hiyo inalenga kuimarisha usalama wa fedha, wabunge walimkashifu kwa kuunda sheria na kanuni bila kuhusisha bunge. Miongoni mwa mapendekezo kwenye sheria hizo mpya alizochapisha gavana wa cbk, ni kwamba wateja wa benki hawataruhusiwa kutoa zaidi ya shilingi milioni moja kwa siku kutoka akaunti zao.

.
RELATED VIDEOS