×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Utata umeibuka kuhusu ujenzi wa madarasa katika chuo anuwai cha Kabula

11th February, 2019

Utata umeibuka kuhusu ujenzi wa madarasa mawili katika chuo anuwai cha Kabula katika Kaunti ya Bungoma. Wakazi na bodi ya usimamizi wa chuo hicho wameusimamisha ujenzi wa mradi huo uliotengewa kima cha shilingi milioni mbili nukta nne ili uchunguzi ufanywe kubaini ni vipi ujenzi wa madarasa mawili uligeuzwa na kuwa darasa moja na choo kimoja cha shimo.

.
RELATED VIDEOS