×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Shirika la KEBS limeamuru kuondolewa madukani siagi ya njugu aina ya Nuteez

4th February, 2019

Shirika la kukadiria ubora wa bidhaa KEBS limeamuru kuondolewa madukani siagi ya njugu aina ya nuteez inayotengenezwa na kampuni ya jetlak foods mjini limuru baada ya siagi hiyo kugunduliwa kuwa na viwango vya juu zaidi vya sumu aina ya aflotoxin.  Shirika hilo limesema kuwa limekuwa likifanyia uchunguzi bidhaa za njugu katika kipindi cha mwaka mmoja uliopita na kugundua kuwa hazitimizi viwango vya ubora. Ziporah syokau anaarifu. 

.
RELATED VIDEOS